This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Showing posts with label SPORTS. Show all posts
Showing posts with label SPORTS. Show all posts

Michuano ya CHAN makundi yapangwa

Tanzania national football team 
Tanzania itachuana na Uganda wakati Kenya itakipiga na Ethiopia katika michuano ya kufuzu ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) kufuatia ratiba ya michuano hiyo iliyotolewa na Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika, (CAF),
Mechi hiyo ya awali itachezwa kati ya Juni 19-21 wakati ile ya marudiano itachezwa kati ya July 3-5 mwaka huu.
Fainali za CHAN zitafanyika nchini Rwanda kuanzia January 16 mpaka February 7, 2016.
Michuano hiyo, kwa mujibu wa ratiba ya CAF, itashirikisha timu 42, ambazo zitashindana katika kanda 6 na fainali zake zitachezwa na nchi 16 tu wakiwemo timu mwenyeji.
Uganda kwa sasa ipo nafasi katika nafasi ya 84 ya viwango vya FIFA, wakati Tanzania ipo nafasi ya 100.
Ratiba ya kufuzu ya CHAN ni kama ifuatavyo
Kanda ya Magharibi A.
Guinea Bissau vs Mali
Mauritania vs Sierra Leone
Guinea vs Liberia
Senegal vs Gambia
Kanda ya Magharibi B
Ghana vs Ivory Coast
Nigeria vs Burkina Faso
Niger vs Togo
Kanda ya kati
DR Congo vs Jamhri ya Kati (CAR)
Cameroon vs Congo
Chad vs Gabon
Kanda ya Kati Mashariki
Hatua ya awali
Tanzania vs Uganda
Djibouti vs Burundi
Ethiopia vs Kenya
Kanda ya Kusini
Zimbabwe vs Visiwa vya Comoro
Lesotho vs Botswana
Namibia vs Zambia
Msumbiji vs Seychelles
Afrika ya Kusini vs Mauritius
Swaziland vs Angola
Kanda ya Kaskazini
M1 Libya vs Tunisia
M2 Morocco vs Libya

Yanga kukwaana na Etoile du Sahel


Sasa ni wazi kuwa wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya vilabu ya kombe la Shirikisho barani Afrika, Yanga watacheza na Etoile du Sahel ya Tunisia katika raundi ya pili ya michuano hiyo.

Yanga imefanikiwa kuwatoa Platinum FC licha ya kufungwa 1-0 katika mechi ya marudiano iliyochezwa Bulawayo, nchini Zimbabwe. Hii inafuatia ushindi wa 5-1 ambao Yanga uliipata katika mechi ya kwanza iliyochezwa Dar es Salaam, Tanzania.
Vigogo hao wa Tunisia, wenye uzoefu wa kucheza michuano mikubwa Afrika, imepata nafasi ya kucheza na Yanga baada ya kutoka sare ya 1-1 na timu ya Benfica de Luanda. Katika mechi ya kwanza, Watunisia walishinda 1-0.
Kocha wa Yanga, Mdachi Hans Pluijm atakuwa na kibarua cha ziada kuwahkikisha wanasonga mbele huku nahodha wake, Nadir Haroub “Cannavaro” akisema wapo tayari kucheza na timu yoyote katika michuano hiyo.
Tunaiombea yanga iendelee kuwapa mshabiki wake hiyo furaha ya ushindi.